MFANO WA UUNGU
KWA BIBLIA - Yohana 14:8-9
KWA BIBLIA – Mathayo 16:13-16 “Basi Yesu alipofika pande za Kaisaria Filipi, aliwauliza wanafunzi wake, akisema, ‘Watu husema mimi, Mwana wa Adamu, ni nani?’ Wakasema, ‘Wengine husema Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, na wengine Yeremia au mmoja wa manabii.’ Akawaambia, ‘Nanyi je, mnasema mimi ni nani?’ Simoni Petro akajibu, akasema, ‘Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.’”